News
HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MHE. GEORGE BONIFACE SIMBACHAWENE (Mb.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2020/21
- UTANGULIZI
- Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili Taarifa ya Utekelezaji ya Mwaka 2019/20 na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka 2020/21.
- Mheshimiwa Spika, nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kuniwezesha kuwasilisha Hotuba hii muhimu mbele ya Bunge lako Tukufu. Aidha, kwa namna ya kipekee namshukuru Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuniteua kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kuanzia tarehe 23 Januari, 2020.
- Mheshimiwa Spika, kwa dhati nampongeza Mhe. Rais kwa namna anavyoiongoza Serikali ya Awamu ya Tano inayosimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM, ambapo mafanikio mengi yamepatikana katika sekta mbalimbali. Ni wazi kuwa mafanikio hayo yamepatikana kwa kuendelea kuwepo kwa amani na utulivu nchini kupitia utendaji mzuri wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
- Mheshimiwa Spika, ninaomba nitoe Rai kwa wananchi na Waheshimiwa Wabunge wote bila kujali itikadi za aina yoyote, tuendelee kuyaenzi mafanikio haya makubwa na kuendelea kushirikiana kwa pamoja katika kuchangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini...
STATEMENT BY AMB. HASSAN YAHYA SIMBA, DEPUTY PERMANENT SECRETARY, MINISTRY OF HOME AFFAIRS ON GOVERNMENT OF TANZANIA PERSPECTIVES ON THE PROTECTION AND SOLUTIONS FOR REFUGEES IN TANZANIA DELIVERED AT THE HIGH-LEVEL DIALOGUE WITH THE UNITED NATIONS HIGH
Hon, Mwigulu Lameck Nchemba - Minister for Home Affairs
Hon Rtd Major General Raphael Mugoya – Regional Commissioner Katavi
Hon Rtd Brigadier General Emanuel Maganga Regional Commissioner of Kigoma
Distinguished Regional Administrative Secretaries
Hon District Commissioners for Ngara
Distinguished Senior Government Officials
Mr. Volker Turk, UNHCR, Assistant High Commissioner – Protection, Geneva
Ms. Catherine Wiesner, Regional Refugee Coordinator (Burundi), Nairobi
Valentin Tapsoba, Director, UNHCR Regional Bureau for Africa, Geneva
Mr. Mamadou Dian Balde, Deputy Director, Comprehensive Response CRRF, Geneva
Ms. Chansa Ruth Kapaya, UNHCR Country Representative
Senior UNHCR Officials
Distinguished Participants,
Ladies and Gentlemen;
Good morning.
It gives me great pleasure to participate in this high level diaologue on key issues on asylum and protection for people that are compelled to seek refuge in our country. On behalf of the Government of the United Republic of Tanzania, I wish to extend my appreciation to the United Nations High Commissioner for Refugees for timely...
STATEMENT BY AMB. HASSAN YAHYA SIMBA, DEPUTY PERMANENT SECRETARY, MINISTRY OF HOME AFFAIRS ON GOVERNMENT OF TANZANIA PERSPECTIVES ON THE PROTECTION AND SOLUTIONS FOR REFUGEES IN TANZANIA DELIVERED AT THE HIGH-LEVEL DIALOGUE WITH THE UNITED NATIONS HIGH CO
Hon, Mwigulu Lameck Nchemba - Minister for Home Affairs
Hon Rtd Major General Raphael Mugoya – Regional Commissioner Katavi
Hon Rtd Brigadier General Emanuel Maganga Regional Commissioner of Kigoma
Distinguished Regional Administrative Secretaries
Hon District Commissioners for Ngara
Distinguished Senior Government Officials
Mr. Volker Turk, UNHCR, Assistant High Commissioner – Protection, Geneva
Ms. Catherine Wiesner, Regional Refugee Coordinator (Burundi), Nairobi
Valentin Tapsoba, Director, UNHCR Regional Bureau for Africa, Geneva
Mr. Mamadou Dian Balde, Deputy Director, Comprehensive Response CRRF, Geneva
Ms. Chansa Ruth Kapaya, UNHCR Country Representative
Senior UNHCR Officials
Distinguished Participants,
Ladies and Gentlemen;
Good morning.
It gives me great pleasure to participate in this high level diaologue on key issues on asylum and protection for people that are compelled to seek refuge in our country. On behalf of the Government of the United Republic of Tanzania, I wish to extend my appreciation to the United Nations High Commissioner for Refugees for timely...
OPENING SPEECH BY HON. MWIGULU LAMECK NCHEMBA (MP), MINISTER FOR HOME AFFAIRS, AT THE HIGH-LEVEL DIALOGUE BETWEEN THE GOVERNMENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AND THE UNITED NATIONS HIGH COMMISSIONER FOR REFUGEES (UNHCR)
Hon Rtrd Major General Raphael Mugoya – Regional Commissioner Katavi
Hon Rtrd Brigadier General Emanuel Maganga Regional Commissioner of Kigoma
Ambassador Simba Yahya, Deputy Permanent Secretary, Ministry of Home Affairs
Distinguished Regional Administrative Secretaries
Hon District Commissioners for Ngara
Distinguished Senior Government Officials
Mr. Volker Turk, UNHCR, Assistant High Commissioner – Protection, Geneva
Ms. Catherine Wiesner, Regional Refugee Coordinator (Burundi), Nairobi
Valentin Tapsoba, Director, UNHCR Regional Bureau for Africa, Geneva
Mr. Mamadou Dian Balde, Deputy Director, Comprehensive Response CRRF, Geneva
Ms. Chansa Ruth Kapaya, UNHCR Country Representative
Ladies and Gentlemen,
Good morning
Allow me at the outset, on behalf of the United Republic of Tanzania and on my own behalf to give a warm welcome to our co-operating partners from the office of the High Commissioner in Geneva to Tanzania and in particular to this high-level dialogue between the government of the United of Tanzania and the United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR).
We are...
JESHI LA MAGEREZA KUTOA ELIMU YA NAMNA YA KUANZISHA KILIMO CHA KISASA KWA KUTUMIA MAENEO YENYE UFINYU WA NAFASI
Na Christina Mwangosi, MOHA
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini Dk. Juma Malewa amesema Jeshi la Magereza nchini litatoa elimu ya namna kila Mtanzania hata aishie kwenye nyumba za ghorofa ama maeneo yenye nafasi ndogo ya kuanzisha kilimo cha mbogamboga, anavyoweza kutumia eneo dogo kuendeshea shughuli za kilimo cha mbogamboga wakati huu Maonyesho ya SabaSaba yanayoendelea katika Viwanja vya SabaSaba jijini Dar es salaam.
Kamishna Jenerali Dk. Malewa amesema kuwa pamoja na kuandaa Shamba Darasa kwa ajili ya kutoa elimu ya shughuli mbalimbali za kilimo, Jeshi la Magereza limeandaa bidhaa mbalimbali ambazo zitaonyeshwa wakati wote wa Maonyesho pamoja na kuuzwa wakati wote wa Maonyesho hayo.
Dk. Malewa amesema miongoni mwa bidhaa hizo ambazo ziko kwenye Banda la Magereza ni samani mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya ofisi na nyumbani ikiwemo makabati ya vyombo na nguo, meza na viti, madawati kwa ajili ya shule za msingi na sekondari, vitanda, sofa, ‘dressing table’ pamoja na viatu vya ngozi vya kike na kiume.
Amesema Jeshi la Magereza pia litauza pia majiko sanifu yanayotumia kuni kidogo, mashuka, foronya, vikoi pamoja na sabuni zenye ubora kwa ajili ya kufua nguo ambazo zinatengenezwa katika Kiwanda cha Sabuni kilichopo Mkoa wa Mbeya.
Amesema Jeshi la Magereza katika kipindi hiki cha Maonyesho litatoa elimu ya shughuli za kilimo cha kisasa bure na kwa wale wananchi ambao maeneo yao yanafikika...
PROGRESS REPORT ON CRRF ROLL-PUT IN TANZANIA
Honorable Deputy Minister,
Honorable Regional Commissioners,
Members of Parliament,
Excellencies,
Ladies and Gentlemen,
As most of you may be aware, following the New York Declaration and its subsequent CRRF component, countries selected to take part in the pilot project, were required to establish a Comprehensive Refugee Response Framework National Secretariat that eventually will be charged with responsibility and functions that will be outlined shortly. As we meet here today for the launching, the National Secretariat of CRRF is already in place.
The roll-out of the CRRF will be led by the Government, facilitated by UNHCR and a wide range of humanitarian and development actors in line with the whole of society approach outlined in the New York Declaration. The Comprehensive Refugee Response Framework will build on existing/planned mechanisms and initiatives, while identifying and addressing gaps currently uncovered. The work carried out by the Solutions Alliance National Group since 2016, particularly in supporting the Government in the local integration of New Tanzanians, will feed into the CRRF as an integral part, as will the United Nations Joint Programme for Kigoma Regional which fosters an inclusive approach to host and refugee community support.
Excellencies, ladies...
TALKING NOTE BY SEPERATUS FELLA, SECRETARY ANT-TRAFFICKING IN PERSONS SECRETARIET, THE MINISTRY OF HOME AFFAIRS TANZANIA, ON THE TRAINING OF THE NATIONAL STAKEHOLDERS ON TRAFFICKING IN PERSONS , COLASIUM HOTEL, DAR ES SALAAM 15TH MAY, 2017
TALKING NOTE BY SEPERATUS FELLA, SECRETARY ANT-TRAFFICKING IN PERSONS SECRETARIET, THE MINISTRY OF HOME AFFAIRS TANZANIA, ON THE TRAINING OF THE NATIONAL STAKEHOLDERS ON TRAFFICKING IN PERSONS , COLASIUM HOTEL, DAR ES SALAAM 15TH MAY, 2017
HOUNAROUBLE CHAIRMAN ANTI-TRAFFICKING IN PERSONS – MR. MAGERE
THE DELEGATION FROM SADC SECRETARIAT
DISTINGUISHED PARTICIPANTS
LADIES AND GENTLEMEN
It gives me a great pleasure to welcome all of you this morning to the training of the National Stakeholders on Trafficking in Persons.
I wish to extend a warm welcome to our fellow delegates from SADC Secretariat. I do hope you will take time to enjoy fascinating Tanzania, with its tropical setting, friendly people and multicultural cuisine.
On behalf of the Government of the United Republic of Tanzania, I would like sincerely to thank the sponsors of this training SADC Secretariat for funding this five (5) days program.
This program has been designed to train 30 participants, the stakeholders who have been fighting and combating against TIP, including Law enforcers, some of ATC members, government officials and some members from NGO’s,
- The essence of this training is to build the capacity of participants in preventing and combating trafficking in persons in their work environment and society as a whole.
Participants to this...
AWAMU YA KWANZA YA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAHAMIA DODOMA MAKAO MAKUU YA NCHI TAREHE 27 FEBRUARI, 2017
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
TAARIFA KWA UMMA
AWAMU YA KWANZA YA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAHAMIA DODOMA MAKAO MAKUU YA NCHI TAREHE 27 FEBRUARI, 2017
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kuwafahamisha Umma kuwa, Awamu ya Kwanza ya Watumishi wa Wizara wamehamia Makao Makuu ya Nchi, Dodoma tarehe 27 Februari 2017.
Awamu ya kwanza inajumuisha Watendaji Wakuu wa Wizara akiwemo Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Naibu Waziri, Katibu Mkuu pamoja na Naibu Katibu Mkuu.
Wamo pia baadhi ya Wakurugenzi, Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na wasaidizi wao.
Aidha, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pia inawajulisha kuwa kwa sasa Ofisi zetu zitakuwa katika majengo ya Asha Rose Migiro Foundation katika Chuo Kikuu cha Dodoma na Anuani mpya itakayotumiwa mkoani Dodoma ni:
Katibu Mkuu,
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
S.L.P 2916,
DODOMA
Simu: +255 262323189/262320186
Barua pepe:ps@moha.go.tz
Website: www.moha.go.tz
Imetolewa na:
Christina R. Mwangosi
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
28/2/2017
THE DEPUTY MINISTER FOR MINISTRY OF HOME AFFAIRS VISITS POLICE HEADQUATERS
The deputy minister of ministry of home affairs visits the headquaters of police department and appriciates on good supervision on general elections.