Karibu kwenye tovuti Rasmi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma Zaidi
Bashungwa aiagiza Uhamiaji kuendelea na operesheni kuwawazibiti Wahamiaji haramu, januari 23, 2025 jijini Dodoam
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameapishwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jeshi la Polisi, Magereza, Zimamito na Uhamiaji, Januari 21, 2025 jijini Dodoma
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa amezindua Mikakati 6 ya Mawasiliano ya Wizara na Vyombo vya Usalama, 9.1.2025 Dodoma
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa amesema Tuzitunze Tunu za Upendo, Umoja na Amani Desemba 25, 2024 mkoani Kagera
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia vyombo vya usalama vitashirikiana na Vijana ili kupambana na Uhalifu. Desemba 14, 2024, Dodoma
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa miezi 2 kwa NIDA, vitambulisho milioni 1.2 vilivyotengenezwa kuwafikia wananchi. amesema hayo Disemba 17, 2024 Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa akipokelewa Wizarani Ofisi za Idara ya Uhamiaji Zanzibar Disemba 10,2024
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Mhe Innocent Bashungwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Desemba 10, 2024
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa amefika eneo ilipotokea ajali ya basi la abiria mkoani Kagera kuwajulia hali majeruhi hospitali ya biharamulo Disemba 21, 2024
Kauli Mbiu: Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tumeshikamana na Tumeimarika, kwa Maendeleo ya Taifa Letu