Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Gugu amesisitiza umuhimu wa Jeshi la Polisi kujipanga vizuri ili kuhakikisha uchaguzi Mkuu unafanyika katika hali ya amani na utulivu
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo, ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa 11 wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Kituo cha Kikanda cha Kudhibiti Silaha Ndogo na Nyepesi (RECSA) uliofanyika Juni 13, 2025 Nairobi, Kenya.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, ametoa wito kwa Waandishi wa habari kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuwaelimisha na kuwakumbusha Watanzania juu ya umuhimu wa tunu ya amani na usalama, ambayo ni urithi kutoka kwa waasisi wa taifa letu. Juni 5, 2025,
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa ameongoza kikao cha Tume ya Jeshi la Polisi, Magereza, Zimamoto na Uokoaji na Idara ya Uhamamiaji Kilichofanyika Ofisi ndogo za Wizara Dar es salaam, Julai 4, 2025
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Daniel Sillo amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani na mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa aagiza Idara ya Uhamiaji kudhibiti Wageni wenye nia ovu kipindi cha Uchaguzi Mkuu.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camillus Wambura kudhibiti Wahalifu wanaotumia mitandao kuvuruga amani.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa amezindua Mikakati 6 ya Mawasiliano ya Wizara na Vyombo vya Usalama, 9.1.2025 Dodoma